Deuteronomy 5:32-33

32 aHivyo kuweni waangalifu kuyafanya yale Bwana Mwenyezi Mungu wenu aliyowaagiza; msigeuke upande wa kuume wala wa kushoto. 33 bFuateni yale yote ambayo Bwana Mwenyezi Mungu wenu aliwaagiza, ili mpate kuishi, kustawi na kuziongeza siku zenu katika nchi mtakayoimiliki.
Copyright information for SwhKC